Wanawake wa leo mnaweza kama alivyoweza esta
Wanawake wa leo mnaweza kama alivyoweza esta kubadilisha mawazo ya mfalme na akaokoa taifa la israeli lisiangamizwe basi nanyi pia mnaweza .
Cha msingi mzidi kujiamini na kuthubutu kuchukua hatua zitazowaletea maendeleo. Ila msije mkamsahau Mungu maana yeye ndio kimbilio na msaada , bali dumuni katika imani , kusali na kuomba ili Mungu azidi kuwabariki katika maisha yenu na mkawe mfano bora katika jamii.
Nawaombea Mungu awabariki na azidi kuwasogeza kutoka hatua moja ya maisha hadi nyingine.
Happy women's day to all women.
Cha msingi mzidi kujiamini na kuthubutu kuchukua hatua zitazowaletea maendeleo. Ila msije mkamsahau Mungu maana yeye ndio kimbilio na msaada , bali dumuni katika imani , kusali na kuomba ili Mungu azidi kuwabariki katika maisha yenu na mkawe mfano bora katika jamii.
Nawaombea Mungu awabariki na azidi kuwasogeza kutoka hatua moja ya maisha hadi nyingine.
Happy women's day to all women.
Maoni
Chapisha Maoni