Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2017

JE NI SAUMU IPI INAKUBALIKA MBELE ZA MUNGU?

Picha
JE UMESHAWAHI  KUJIULIZA NI KWA NINI TUNAFUNGA NA KUOMBA? NA JE NI SAUMU IPI INAYOKUBALIKA MBELE ZA MUNGU? WATU WENGI TUMEKUWA TUKIFUNGA NA KUOMBA LAKINI HATUPATI MAJIBU YA MAOMBI  YETU KAMA WALIVYOKUWA WANA WA ISRAELI KATIKA KITABU CHA ISAYA 58:3-5 LAKINI UKISOMA KATIKA ISAYA 58:6-7 INAELEZA MAMBO 8 YA KUZINGATIA ILI SAUMU YETU IKUBALIKE MBELE ZA MUNGU NAYO NI 1. KUFUNGUA VIFUNGO VYA UOVU 2. KUZILEGEZA KAMBA ZA NIRA. 3. KUWAACHIA  HURU WALIONEA 4. KUVUNJA KILA NIRA. 5. KUWAGAWIA WENYE NJAA CHAKULA CHAKO. 6. KUWALETA MASKINI WALIOTUPWA NJE NYUMBANI KWAKO. 7. UMWONAPO  MTU ALIYE UCHI, UMVIKE NGUO 8. WALA USIJIFICHE NA MTU MWENYE DAMU MOJA NAWE. BASI  NDUGU TUZINGATIE MAMBO HAYA ILI MAOMBI NA SAUMU ZETU IKUBALIKE  MBELE ZA BWANA. Wako katika ujenzi wa Taifa Mwalimu Caleb Samuel Bandora. BONYEZA MAANDISHI HAYA ILI UJIUNGE NAMI NIWE NAKUTUMIA MAKALA NZURI NA MASOMO YA NENO LA MUNGU , UJASIRIAMALI, BIASHARA NA MAFANIKIO KWA NJIA YA E...

FURAHA YA BWANA NDIYO NGUVU YANGU

Picha
BWANA YESU ASIFIWE MTUMISHI WA MUNGU. BIBLIA INASEMA KATIKA WAFILIPI 4:4-6 FURAHINI KATIKA BWANA TENA NASEMA FURAHINI. UPOLE WENU NA UJULIKANE NA WATU WOTE. MSIJISUMBUE KWA NENO LOLOTE  BALI KATIKA KILA NENO KWA KUSALI NA KUOMBA PAMOJA NA KUSHUKURU, HAJA ZENU NA ZIJULIKANE NA MUNGU. MTUMISHI NAKUOMBEA MUNGU AKUPE KICHEKO KATIKA HUDUMA ULIYONAYO, FAMILIA YAKO, BIASHARA NA KAZI YAKO PIA BILA KUJALISHA UNAPITIA HALI GANI HAKIKA UKIMTEGEMEA YESU ATAKUSAIDIA KUSHINDA MAJARIBU UNAYOPITIA SASA. KAMA UNAHITAJI USHAURI, MAOMBI & MAOMBEZI TAFADHALI USISITE KUWASILIANA NAMI Wako katika ujenzi wa Taifa Mwalimu Caleb Samuel Bandora BONYEZA HAYA MAANDISHI ILI KUJIUNGA NAMI NIWE NAKUTUMIA MAKALA NZURI NA MASOMO YA NENO LA MUNGU, UJASIRIAMALI, BIASHARA NA MAFANIKIO KWA NJIA YA EMAIL KILA WIKI

Wanawake wa leo mnaweza kama alivyoweza esta

Picha
Wanawake wa leo mnaweza kama alivyoweza esta kubadilisha mawazo ya mfalme na akaokoa taifa la israeli lisiangamizwe basi nanyi pia mnaweza . Cha msingi mzidi kujiamini na kuthubutu kuchukua hatua zitazowaletea maendeleo. Ila msije mkamsahau Mungu maana yeye ndio kimbilio na msaada , bali  dumuni katika imani , kusali na kuomba ili Mungu azidi kuwabariki katika maisha yenu na mkawe mfano bora katika jamii. Nawaombea Mungu awabariki na azidi kuwasogeza kutoka hatua moja ya maisha hadi nyingine. Happy women's day to all women.